This version of the page http://www.voaswahili.com/a/jo-cox/3380711.html (0.0.0.0) stored by archive.org.ua. It represents a snapshot of the page as of 2016-06-27. The original page over time could change.
Uchunguzi wa mauaji ya mbunge wa Uingereza unaendelea

Upatikanaji viungo

  • Nenda habari kuu
  • Nenda katika urambazaji
  • Nenda katika tafuta
Lugha
Habari

Uchunguzi wa mauaji ya mbunge wa Uingereza unaendelea


Picha ya mbunge Jo Cox aliyepigwa risasi Uingereza

  • Shirikiana kwenye Facebook
  • Shirikiana kwenye Twitter
  • Mpelekee rafiki kwa barua pepe

Wachunguzi wa polisi katika halmashauri ya Yorkshire kaskazini mwa Uingereza ambayo ilikuwa inawakilishwa na mbunge Jo Cox aliyeuwawa, wanakataa kuthibitisha au kukanusha kwamba mshukiwa aliyefanya mauaji hayo amechochewa na imani za utaifa za mrengo wa kulia.

Mbunge huyo mwenye umri wa miaka 41 na ambaye alikuwa na ushawishi mkubwa alipigwa risasi na kuchomwa kisu mbele ya watu na Thomas Mair, mwenye umri wa miaka 52 huku akisema “Uingereza kwanza.”

Chama kidogo cha kisiasa cha mrengo wa kulia 'Britain First' ambacho kinafanya kampeni kwa miaka mingi kwa nchi hiyo kuondoka kwenye Umoja wa Ulaya, kilisema hakikuhusika katika mauaji ya mbunge huyo anayeunga mkono umoja wa ulaya na uongozi wake ulilalamikiwa kwa shambulizi.

Huenda ukapenda pia

  • Habari

    Watu 15 wauliwa katika shambulizi la hoteli Mogadishu

  • Habari

    Waingereza wajuta kujiondoa Umoja wa Ulaya

  • Zulia Jekundu

    Zulia Jekundu S1 Ep 82: Oprah, Christina Aguilera, Kendall & Kylie, Charlie Sheen, Angelina Jolie, Demi Lovato

  • Penalty Box

    Penalty Box Copa America na Euro 2016 Robo Fainali

  • Habari

    Unachotakiwa kujua kuhusu Brexit

Back to top
XS
SM
MD
LG