Mshambuliaji wa Orlando alijitangaza kuwa ni mwanamgambo wa kiislam-FBI.
Mapendekezo yote yameshindwa kupata uungaji mkono wa tatu ya tano inayohitajika ili kuweza kupitishwa.
“Leandowski hatafanya kazi nasi tena kwenye kampeni” msemaji wa kampeni Hope Hicks alisema hayo Jumatatu . Hicks alitoa shukrani kwa kazi nzuri ya Lewarndowski.
Rais wa Marekani Barack Obama amesema hakuna sehemu nzuri zaidi au muda wa kuwekeza kuliko Marekani wakati huu.
Kwa wanaharakati wa mazingira mwaka wa 2015 ulikuwa ni mwaka wa hatari kulingana na ripoti kutoka shirika la ufwatiliaji la Global Witness.
Timu hii imeweka historia kuwa ya kwanza kushinda baada ya kuwa nyuma kwa jumla ya michezo 3-1 katika fainali za NBA.
Akiwa hajatangaza kumuunga mkono Clinton wala kukubali kushindwa katika kinyang’anyiro cha kugombea uteuzi wa chama Sanders alisema kumshinda Trump kwa kishindo ndio kazi kubwa ya kisiasa iliyopo.
Sanduku la kwanza la takwimu kutoka ndege namba M804 ambayo ilikuwa ikielekea Cairo kutoka Paris lilionekana siku moja kabla.
IS iliuteka mji wa Fallujah mwaka 2014, lakini baada ya mapambano makali zaidi ya mwezi uliopita, vikosi vya Iraq vimeweza kuuteka tena takribani nusu ya mji.
Maneno hayo yalitolewa Jumatatu baada ya mgombea mtarajiwa wa chama cha Republikan Donald Trump.
Obama alitangaza kuwa kicho ni kitendo cha kigaidi na kusema FBI wanaongoza uchunguzi.
Shambulizi kama lililotokea Jumapili la mauwaji ya halaiki mjini Orlando, Florida limesababisha hali ya mshangao na maswali mingoni mwa watu kuhusu ni hatua gani Serikali inaweza kuchukua kuzuia hilo kutokea tena.
Polisi katika mji wa Olarndo nchini Marekani wametoa jina la mtu aliyeshambulia klabu cha usiku mjini Orlando, Florida, na kuua takriban watu 50 na kujeruhui zaidi ya 50 kama Omar Mateen ambaye ni raia wa Marekani.
Carter yuko kwenye kongamano hilo la siku tatu ambalo linafahamika kama 'Shangri-la Dialogue', na anatarajiwa kutoa hotuba yake kesho Jumamosi.
Clinton alimshambulia kwa maneno makali Trump, na kumtaja kama asiye na fikra timamu za kuongoza Marekani huku akisema kazi hiyo, inahitaji ujuzi, uthabiti na uwajibikaji mkubwa.