This version of the page http://www.voaswahili.com/a/3369381.html (0.0.0.0) stored by archive.org.ua. It represents a snapshot of the page as of 2016-06-22. The original page over time could change.
Obama amunga mkono Hillary Clinton

Upatikanaji viungo

  • Nenda habari kuu
  • Nenda katika urambazaji
  • Nenda katika tafuta
Lugha
Marekani

Obama amunga mkono Hillary Clinton


Obama DEM 2016 Clinton

  • Shirikiana kwenye Facebook
  • Shirikiana kwenye Twitter
  • Mpelekee rafiki kwa barua pepe

Rais Barack Obama wa Marekani ametangaza rasmi kwamba anamunga mkono Hillary Clinton kama mgombea wa kiti cha rais kwa niaba ya chama cha Democratic, na kutoa wito kwa Wademocrats kuungana pamoja kuchagua rais.

Katika ujumbe wa video iliyochapishwa kwenye ukurasa wa Facebook, wa Bi Clinton, Obama anasema "sidhani kumewahi kuwepo na mtu aliyena ujuzi kama yeye kuongoza ofisi hii."

Rais Obama anasema anasubiri tu kuanza kua na jukumu muhimu katika mashindano ya atakae chukua nafasi yake na utawala wame umekua na mazungumzo na washauri wa Bi. Clinton hivi karibuni juu ya jinsi na namna atakavyoweza kumsaidia.

Tangazo hilo limetolewa muda mfupi baada ya Rais Obama kukutana na Bernie Sanders aliyeshindwa na Clinton lakini amesema hatositisha kampeni yake hadi mkutano mkuu wa Julai.

Rais Obama amempongeza Sanders na Clinton kwa kampeni kabambe walofanya na kusema wameinua hadhi ya chama chao na kuwataka kufanya kazi kwa pamoja kuhakikisha ushindi wa chama cha.

Huenda ukapenda pia

  • Alfajiri

    Alfajiri

  • Jioni

    Jioni

  • VOA Express

    VOA Express

  • Alfajiri

    Alfajiri

  • Jioni

    Jioni

  • VOA Express

    VOA Express

  • Alfajiri

    Alfajiri

  • Jioni

    Jioni

  • Jioni

    Jioni

  • Jioni

    Jioni

Facebook Forum

Back to top
XS
SM
MD
LG