This version of the page http://www.voaswahili.com/a/1822560.html (0.0.0.0) stored by archive.org.ua. It represents a snapshot of the page as of 2016-06-22. The original page over time could change.
Upinzani Rwanda wailaumu serikali kwa kifo cha Karegeya.

Upatikanaji viungo

  • Nenda habari kuu
  • Nenda katika urambazaji
  • Nenda katika tafuta
Lugha
Afrika

Upinzani Rwanda wailaumu serikali kwa kifo cha Karegeya.


Jenerali Kayumba Nyamwasa aliye uhamishoni Afrika kusini.

  • Shirikiana kwenye Facebook
  • Shirikiana kwenye Twitter
  • Mpelekee rafiki kwa barua pepe

Viongozi wa vyama vya upinzani Rwanda wanamlaumu Rais Paul Kagame kwa kifo cha mkuu wa zamani wa upelelezi ambaye inaelekea amekabwa kwenye hoteli moja Afrika Kusini.

Wachunguzi wanasema mkuu huyo wa zamani wa usalama Patrick Karegeya alikutwa amekufa katika hoteli moja ya hali ya juu huko Johanesburg.

Akizungumza na Sauti ya Amerika mkuu wa zamani wa jeshi la Rwanda Jenerali Kayumba Nyamwasa amesema kwamba mtu aliyemwita hotelini hapo walikuwa wakifahamiana na alikuwa rafiki yake alipokuwa Rwanda na ni mtu aliyemwamini.

Kusikiliza mahojiano na Nyamwasa bofya hapa.

Huenda ukapenda pia

  • Jioni

    Jioni

  • VOA Express

    VOA Express

  • Alfajiri

    Alfajiri

  • Jioni

    Jioni

  • VOA Express

    VOA Express

  • Alfajiri

    Alfajiri

  • Jioni

    Jioni

  • Jioni

    Jioni

  • Jioni

    Jioni

  • VOA Express

    VOA Express

Onyesha maoni

Back to top
XS
SM
MD
LG