Obama alitangaza kuwa kicho ni kitendo cha kigaidi na kusema FBI wanaongoza uchunguzi.
Boti mbili ziligongana na moja ikapinduka na hivyo kusababisha vifo hivyo.
Polisi katika mji wa Olarndo nchini Marekani wametoa jina la mtu aliyeshambulia klabu cha usiku mjini Orlando, Florida, na kuua takriban watu 50 na kujeruhui zaidi ya 50 kama Omar Mateen ambaye ni raia wa Marekani.