This version of the page http://www.voaswahili.com/a/us-pol/3314624.html (0.0.0.0) stored by archive.org.ua. It represents a snapshot of the page as of 2016-06-13. The original page over time could change.
Trump na Sanders wanyakua ushindi wa uchaguzi wa awali huko Indiana

Upatikanaji viungo

  • Nenda habari kuu
  • Nenda katika urambazaji
  • Nenda katika tafuta
Lugha
Marekani

Trump na Sanders wanyakua ushindi wa uchaguzi wa awali huko Indiana


Mgombea wa chama cha republican, Donald Trump

  • Shirikiana kwenye Facebook
  • Shirikiana kwenye Twitter
  • Mpelekee rafiki kwa barua pepe

Mgombea wa chama cha Republican Donald Trump ashinda katika uchaguzi wa jimbo la Indiana hio jana, hatua ilosababisha mpinzani wake mkubwa Ted Cruz, kuamua kujitoa katika mbio hizo. Kwa upande wa Demokrat, mgombea Bernie Sanders afanikiwa kumshinda Bi Hillary Clinton katika jimbo hilo la Indiana.

Bw Trump alipata asli mia 53.2 za kura, naye Cruz alifanikiwa kupata asli mia 36.7 za kura. Akizungumza baada ya uchaguzi akiwa mjini Louisville Kentucky, Bw Sanders alisema kuwa, Hillay Clinton anadahani kampeni hii imemalizika. Lakini wamekosea. Hata hivyo licha ya kushindwa huko Indiana, Bi Clinton hadi sasa ana wajumbe asli mia 92 wanaohitajika kunyakuwa nafasi ya kuwa mgombea kwa tiketi ya chama cha Demokrat.

Huenda ukapenda pia

  • Jioni

    Jioni

  • VOA Express

    VOA Express

  • Alfajiri

    Alfajiri

  • Jioni

    Jioni

  • Jioni

    Jioni

  • Jioni

    Jioni

  • VOA Express

    VOA Express

  • Alfajiri

    Alfajiri

  • Jioni

    Jioni

  • VOA Express

    VOA Express

Back to top
XS
SM
MD
LG