This version of the page http://www.voaswahili.com/a/3359119.html (0.0.0.0) stored by archive.org.ua. It represents a snapshot of the page as of 2016-06-13. The original page over time could change.
Uhuru: Hatukukubaliana na Raila kuhusu mazungumzo ya IEBC

Upatikanaji viungo

  • Nenda habari kuu
  • Nenda katika urambazaji
  • Nenda katika tafuta
Lugha
Habari

Uhuru: Hatukukubaliana na Raila kuhusu mazungumzo ya IEBC


Rais Uhuru Kenyatta na Makamu Rais wake William Ruto

  • Shirikiana kwenye Facebook
  • Shirikiana kwenye Twitter
  • Mpelekee rafiki kwa barua pepe

Licha ya viongozi wa muungano wa kisiasa nchini Kenya, Cord, kutangaza majina ya wajumbe watano wa kufanya mazungumzo na upande wa serikali kuhusu mzozo unakabili tume ya uchaguzi na mipaka nchini humo, serikali bado inashikilia kwamba mazungumzo yoyote ni lazima yafuate mkondo wa wa sheria kulingana na katiba ya nchi hiyo

Licha ya viongozi wa muungano wa kisiasa nchini Kenya, Cord, kutangaza majina ya wajumbe watano wa kufanya mazungumzo na upande wa serikali kuhusu mzozo unakabili tume ya uchaguzi na mipaka nchini humo, serikali bado inashikilia kwamba mazungumzo yoyote ni lazima yafuate mkondo wa wa sheria kulingana na katiba ya nchi hiyo. BMJ Muriithi amefuatilia matukuio hayo na ameandaa ripoti ifuatayo.

Huenda ukapenda pia

  • Marekani

    Rais Obama atoa amri kwa bendera za Marekani kupepea nusu mlingoti.

  • Habari

    Watu 27 wanasadikiwa kupoteza maisha katika ajali ya boti Congo.

  • Habari

    Shambulizi kwenye uwanja wa ndege China lajeruhi watu 4

  • Habari

    Rwanda yawarudisha warundi 400 nyumbani

  • Katika Picha

    Shambulizi katika klabu ya wapenzi wa jinsia moja Orlando

Facebook Forum

Back to top
XS
SM
MD
LG