Mgombea wa chama cha Republican, Donald Trump, ashinda katika uchaguzi wa jimbo la Indiana hio jana, hatua ilosababisha mpinzani wake mkubwa Ted Cruz, kuamua kujitoa katika mbio hizo. Kwa upande wa Demokrat, mgombea Bernie Sanders afanikiwa kumshinda Bi Hillary Clinton katika jimbo hilo la Indiana.
Onyesha zaidi