Bernie Sanders akizungumza kwenye Mkutano Mkuu wa chama cha Demokratic
Gavana wa Connecticut Dannel Malloy akizungumza katika siku ya kwanza ya mkutano mkuu wa chama cha Demokratik mjini Philadelphia, Julai 25, 2016.
Mjumbe wa California Gurjatinder Randhawa akiweka mkono kifuani wakati wa wimbo wa taifa kufungua mkutano mkuu mjini Philadelphia, Julai 25, 2016.
Sen. Cory Booker wa jimbo la New Jersey
Pandisha zaidi