Wafuasi wa chama tawala CCM Zanzibar washerehekea ushindi wa Shein
Upatikanaji viungo
Nenda habari kuu
Nenda katika urambazaji
Nenda katika tafuta
Lugha
IliyopitaIjayo
0
Breaking News
IliyopitaIjayo
0
Live
Katika Picha
Wafuasi wa chama tawala CCM Zanzibar washerehekea ushindi wa Shein
Tume ya uchaguzi ya Zanzibar ZEC imemtangaza Dr Ali Mohamed Shein kua mshindi wa uchaguzi wa marudio wa rais ulofanyika jumapili na kususiwa na chama kikuu cha upinzani CUF.
Onyesha zaidi
1
Cheti ya matokeo ya uchaguzi wa rais wa Zanzibar 2016
2
Wafuasi wa chama tawala CCM wakisherehekea ushindi wa Dr Ali Mohamed Shein huko Unguja. Machi 21, 2016
3
Wafuasi wa chama tawala CCM wakisherehekea ushindi wa Dr Ali Mohamed Shein huko Unguja. Machi 21, 2016
4
Wafuasi wa CCM Zanzibar wakiandamana kwa furaha kutokana na ushindi wa Dr Ali Mohamed Shein.